IBADA YA KUABUDU EKARISTI TAKATIFU
... Soma Zaidi
Kwa niaba ya waamini wa Parokia ya Mtakatifu Maria De Mattias – Mivumoni, Niwakaribishe kutembelea tovuti yetu. Parokia ya Mtakatifu Maria De Mattias - Mivumoni, ipo katika JImbo Kuu la Dar es Salaam katika Dekania ya Mtakatifu Gaspari Del Bufallo na kuwa mojawapo ya Parokia 17 anzilishi zinazounda Jimbo jipya la Bagamoyo. Parokia ipo eneo la Mivumoni, kata ya Wazo. Parokia hii inaadhimisha ibada zote kwa kufuata litrijua na miongozo yote ya Kanisa Katoliki. Tunawakiribisha waamini wote na wenye mapenzi mema kufika na kuja kusali pamoja nasi na kushiriki kwa pamoja katika kutakatifuza maisha yetu. Mwenyezi Mungu, anatupenda tuwe na upendo na tuweze kupendana kati yetu, kwa kushirikishana Ufalme wa Mungu na kufanya maisha ya hapa duniani kuwa ya upendo na amani. Kutokana na mabadiliko haya Soma Zaidi
Fr. Francis Pastory Malele.
... Soma Zaidi
Jimbo la Bagamoyo Parokia ya Mt. Maria De Mattias - Mivumoni S.L.P 16 Bagamoyo www.mariademattias .or.tz...
Soma Zaidi